18Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi neno la Yehova likamjia Eliya katika mwaka wa tatu, na kusema: “Nenda, jionyeshe kwa Ahabu, kwa kuwa nimeazimia kunyesha mvua+ juu ya uso wa nchi.”+
10“Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+