Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 65:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Umeielekezea dunia fikira zako, ili uipatie wingi;+

      Unaitajirisha sana.

      Kijito kinachotoka kwa Mungu kimejaa maji.+

      Wewe unatayarisha nafaka yao,+

      Kwa maana hivyo ndivyo unavyoitayarisha dunia.+

  • Zaburi 65:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mitaro yake inajazwa maji, madonge yake yanasawazishwa;+

      Unailainisha kwa manyunyu mengi; unaibariki mimea yake.+

  • Yeremia 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, kati ya sanamu za ubatili+ za mataifa kuna yoyote inayoweza kunyesha mvua, au, je, hata mbingu zinaweza kutoa manyunyu?+ Je, si Wewe, Ee Yehova Mungu wetu?+ Nasi tunakutumaini wewe, kwa maana wewe mwenyewe umeyatenda mambo hayo yote.+

  • Mathayo 5:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki