Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova atakufungulia ghala lake zuri, mbingu, ili kunyesha mvua juu ya nchi yako katika majira+ yake na kubariki kila tendo la mkono wako;+ nawe hakika utakopesha mataifa mengi, hali wewe mwenyewe hutakopa.+

  • Zaburi 135:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Anafanya mivuke ipande kutoka mwisho wa dunia;+

      Amefanya hata malango kwa ajili ya mvua;+

      Anauleta upepo kutoka katika maghala yake,+

  • Zaburi 147:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,+

      Yeye anayetayarisha mvua kwa ajili ya dunia,+

      Yeye anayefanya milima ichipushe majani mabichi.+

  • Isaya 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+

  • Yoeli 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nanyi, wana wa Sayuni, furahini na mshangilie katika Yehova Mungu wenu;+ kwa maana atakuwa na wajibu wa kuwapa mvua ya vuli kwa kiasi kinachofaa,+ naye atawaletea ninyi mvua kubwa, mvua ya vuli na mvua ya masika, kama pale mwanzoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki