12 Yehova atakufungulia ghala lake zuri, mbingu, ili kunyesha mvua juu ya nchi yako katika majira+ yake na kubariki kila tendo la mkono wako;+ nawe hakika utakopesha mataifa mengi, hali wewe mwenyewe hutakopa.+
23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+
23 Nanyi, wana wa Sayuni, furahini na mshangilie katika Yehova Mungu wenu;+ kwa maana atakuwa na wajibu wa kuwapa mvua ya vuli kwa kiasi kinachofaa,+ naye atawaletea ninyi mvua kubwa, mvua ya vuli na mvua ya masika, kama pale mwanzoni.+