Ayubu 38:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni nani ameugawanya mfereji kwa ajili ya mafurikoNa njia kwa ajili ya wingu la dhoruba lenye kunguruma,+ Zaburi 147:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,+Yeye anayetayarisha mvua kwa ajili ya dunia,+Yeye anayefanya milima ichipushe majani mabichi.+ Zekaria 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+
25 Ni nani ameugawanya mfereji kwa ajili ya mafurikoNa njia kwa ajili ya wingu la dhoruba lenye kunguruma,+
8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,+Yeye anayetayarisha mvua kwa ajili ya dunia,+Yeye anayefanya milima ichipushe majani mabichi.+
10 “Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+