22 Je, kuna sanamu yoyote kati ya sanamu za ubatili za mataifa inayoweza kuleta mvua,
Au, je, hata mbingu zinaweza kuleta mvua zenyewe?
Je, si Wewe peke yako, Ee Yehova Mungu wetu?+
Nasi tunakutumaini,
Kwa maana wewe peke yako ndiye uliyefanya mambo hayo yote.