Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake. Zaburi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hunipa thawabu kulingana na uadilifu wangu;+Hunilipa kulingana na usafi wa mikono yangu.+ Ufunuo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.
23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+