Zaburi 33:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kutoka katika mahali palipofanywa imara ambako yeye hukaa+Amewakazia macho wale wote wanaokaa duniani. Isaya 63:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+ Mathayo 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 naye anayeapa kwa mbingu anaapa kwa kiti cha ufalme cha Mungu+ na kwa yeye anayeketi juu yake.
14 Kutoka katika mahali palipofanywa imara ambako yeye hukaa+Amewakazia macho wale wote wanaokaa duniani.
15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+