- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 33:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
7 Zaidi ya hayo, akaweka sanamu ya kuchongwa+ aliyokuwa ametengeneza katika nyumba ya Mungu wa kweli,+ ambayo Mungu alikuwa amemwambia Daudi na Sulemani mwana wake hivi kuihusu: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambalo nimelichagua+ kutoka katika makabila yote ya Israeli, nitaliweka jina langu+ mpaka wakati usio na kipimo.+
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Danieli 6:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
10 Lakini mara Danieli alipojua kwamba maandishi hayo yametiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, kisha, huku madirisha yaliyo katika chumba chake cha dari yakiwa yamefunguliwa kwa ajili yake kuelekea Yerusalemu,+ alikuwa akipiga magoti na kusali+ mara tatu kwa siku+ na kutoa sifa mbele za Mungu wake,+ kama vile alivyokuwa akifanya kwa ukawaida kabla ya hayo.+
 
 -