Zaburi 55:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jioni na asubuhi na katikati ya mchana sikosi kuhangaika nami naomboleza,+Naye huisikia sauti yangu.+ Zaburi 86:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Unionyeshe kibali, Ee Yehova,+Kwa maana ninaendelea kukuitia wewe mchana kutwa.+ Wakolosai 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Endeleeni kudumu katika sala,+ mkikaa macho katika hiyo pamoja na kutoa shukrani,+
17 Jioni na asubuhi na katikati ya mchana sikosi kuhangaika nami naomboleza,+Naye huisikia sauti yangu.+