Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 88:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 88 Ee Yehova, Mungu wa wokovu wangu,+

      Wakati wa mchana nimepaaza kilio,+

      Usiku pia, mbele zako.+

  • Zaburi 119:147
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 147 Nimeamka mapema wakati wa mapambazuko ya asubuhi,+ ili nipate kulilia msaada.+

      Kwa maana nimeyangojea maneno yako.+

  • Danieli 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini mara Danieli alipojua kwamba maandishi hayo yametiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, kisha, huku madirisha yaliyo katika chumba chake cha dari yakiwa yamefunguliwa kwa ajili yake kuelekea Yerusalemu,+ alikuwa akipiga magoti na kusali+ mara tatu kwa siku+ na kutoa sifa mbele za Mungu wake,+ kama vile alivyokuwa akifanya kwa ukawaida kabla ya hayo.+

  • Marko 1:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na asubuhi na mapema, kulipokuwa bado kuna giza, akatoka nje akaenda mahali ambapo hapakuwa na watu,+ na huko akaanza kusali.+

  • 1 Wathesalonike 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Salini bila kuacha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki