Zaburi 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, asubuhi utasikia sauti yangu;+Asubuhi nitajieleza kwako na kukaa macho.+ Zaburi 88:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na bado wewe, Ee Yehova, nimekulilia unisaidie,+Na asubuhi sala yangu inaendelea kukuelekea.+ Marko 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na asubuhi na mapema, kulipokuwa bado kuna giza, akatoka nje akaenda mahali ambapo hapakuwa na watu,+ na huko akaanza kusali.+
35 Na asubuhi na mapema, kulipokuwa bado kuna giza, akatoka nje akaenda mahali ambapo hapakuwa na watu,+ na huko akaanza kusali.+