Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwishowe, baada ya kuwaruhusu umati waende zao, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ingawa ilikuwa jioni, alikuwa huko peke yake.

  • Marko 14:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa hiyo wakafika mahali panapoitwa jina Gethsemane, naye akawaambia wanafunzi wake: “Ketini hapa ninaposali.”+

  • Waebrania 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki