Zaburi 55:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jioni na asubuhi na katikati ya mchana sikosi kuhangaika nami naomboleza,+Naye huisikia sauti yangu.+ Zaburi 88:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na bado wewe, Ee Yehova, nimekulilia unisaidie,+Na asubuhi sala yangu inaendelea kukuelekea.+
17 Jioni na asubuhi na katikati ya mchana sikosi kuhangaika nami naomboleza,+Naye huisikia sauti yangu.+