30 Nawe usikilize ombi la kutaka kibali+ la mtumishi wako na la watu wako Israeli ambalo wanasali kuelekea mahali hapa; nawe usikilize katika makao yako, mbinguni,+ nawe usikie na kusamehe.+
44 “Watu wako wakitoka kwenda vitani+ kupigana na adui yao katika njia ambayo unawatuma,+ nao hakika wasali+ kwa Yehova kuelekea upande wa jiji ambalo umelichagua+ na nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako,+
38 nao kwa kweli warudi kwako kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi yao yote katika nchi ambayo wao ni mateka+ wa wale waliowachukua mateka, nao kwa kweli wasali kuelekea upande wa nchi yao uliyowapa mababu zao na jiji ambalo umelichagua+ na nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako;+