13 Kwa hiyo watu wangu watalazimika kwenda uhamishoni kwa sababu ya kukosa ujuzi;+ na utukufu wao utakuwa ni watu wenye njaa,+ na umati wao utakaushwa kwa kiu.+
22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+