Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nilipoona+ katikati ya nyara vazi rasmi kutoka Shinari,+ lenye kupendeza, na shekeli 200 za fedha na kipande kimoja cha dhahabu, uzito wake ukiwa shekeli 50, ndipo nikavitamani+ vitu hivyo, halafu nikavichukua;+ na, tazama! vimefichwa chini ya udongo katikati ya hema langu na zile pesa chini yake.”+

  • Ezekieli 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye akaendelea kuniambia: “Je, umeona hili, Ee mwana wa binadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo ambayo wamefanya hapa, kwamba waijaze nchi jeuri+ na kwamba wanitie uchungu tena, na tazama, wananyoosha lile chipukizi kuelekea pua yangu?

  • Ezekieli 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “ ‘Nawe ulikuwa ukiwachukua wana na binti zako uliokuwa umenizalia,+ na ukawa ukiwatoa dhabihu kwao ili wamezwe+—je, matendo yako hayo ya ukahaba hayatoshi?

  • 2 Timotheo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—

  • Yakobo 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo ondoeni uchafu wote na jambo lile lenye kuzidi, yaani, ubaya,+ na pokeeni kwa upole upandwaji wa neno+ lile linaloweza kuokoa nafsi zenu.+

  • 2 Petro 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wana macho yenye kujaa uzinzi+ na yasiyoweza kuachana na dhambi,+ nao huzishawishi nafsi zisizo imara. Wana moyo uliozoezwa kutamani.+ Wao ni watoto waliolaaniwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki