Waebrania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 sisi tutaponaje+ ikiwa tumepuuza+ wokovu mkuu+ namna hii kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana+ wetu nasi tukathibitishiwa+ na wale waliomsikia, 1 Petro 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 huku mkipokea tokeo la mwisho la imani yenu, ule wokovu wa nafsi zenu.+
3 sisi tutaponaje+ ikiwa tumepuuza+ wokovu mkuu+ namna hii kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana+ wetu nasi tukathibitishiwa+ na wale waliomsikia,