29 Je, mnafikiri atahesabiwa kuwa anastahili adhabu kali zaidi namna gani,+ mtu ambaye amemkanyagia chini+ Mwana wa Mungu na ambaye ameiona kuwa yenye thamani ya kawaida tu damu+ ya agano ambayo kupitia hiyo alitakaswa, na ambaye ameitendea kwa dharau ile roho+ ya fadhili zisizostahiliwa?