Ezekieli 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, unaona hili? Je, ni jambo dogo sana kwa watu wa nyumba ya Yuda kufanya mambo haya yanayochukiza, kuijaza nchi ukatili+ na kuendelea kunikasirisha? Tazama, wanaidunga pua yangu kwa lile tawi.* Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:17 Mnara wa Mlinzi,1/15/1993, uku. 289/15/1988, kur. 13-14
17 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, unaona hili? Je, ni jambo dogo sana kwa watu wa nyumba ya Yuda kufanya mambo haya yanayochukiza, kuijaza nchi ukatili+ na kuendelea kunikasirisha? Tazama, wanaidunga pua yangu kwa lile tawi.*