Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Manase pia alimwaga damu nyingi sana isiyo na hatia mpaka alipojaza Yerusalemu damu hiyo kutoka mwisho mmoja hadi mwingine,+ mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda kwa kufanya maovu machoni pa Yehova.

  • Yeremia 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni kwa sababu waliniacha+ na kufanya mahali hapa pasitambuliwe.+ Hapa wanaitolea dhabihu miungu mingine ambayo wao na mababu zao na wafalme wa Yuda hawakuijua, nao wamepajaza mahali hapa damu ya watu wasio na hatia.+

  • Ezekieli 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi akaniambia: “Kosa la watu wa nyumba ya Israeli na Yuda ni kubwa sana, kubwa kwelikweli.+ Nchi imejaa umwagaji wa damu,+ nalo jiji limejaa ufisadi.+ Kwa maana wanasema, ‘Yehova ameiacha nchi hii, na Yehova haoni.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki