-
Isaya 59:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Mawazo yao ni mawazo yanayodhuru;
Njia zao zina uharibifu na maumivu.+
-
-
Mathayo 23:34, 35Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
34 Kwa sababu hiyo, ninawatuma kwenu manabii+ na watu wenye hekima na walimu wa watu wote.+ Baadhi yao mtawaua+ na kuwatundika kwenye miti, na baadhi yao mtawapiga mijeledi+ katika masinagogi yenu na kuwatesa+ katika jiji baada ya jiji, 35 ili damu yote ya waadilifu iliyomwagwa duniani ije juu yenu, kuanzia damu ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua kati ya patakatifu na madhabahu.+
-