Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Manase pia alimwaga damu nyingi sana isiyo na hatia mpaka alipojaza Yerusalemu damu hiyo kutoka mwisho mmoja hadi mwingine,+ mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda kwa kufanya maovu machoni pa Yehova.

  • Isaya 59:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Miguu yao hukimbilia kutenda maovu,

      Nao wanafanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia.+

      Mawazo yao ni mawazo yanayodhuru;

      Njia zao zina uharibifu na maumivu.+

  • Yeremia 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Hata pindo za nguo zako zina madoa ya damu ya maskini* wasio na hatia,+

      Ingawa sikuwapata wakivunja ili kuingia;

      Imejaa kwenye pindo zako zote.+

  • Maombolezo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hilo lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+

      Waliomwaga damu ya waadilifu waliokuwa katika jiji hilo.+

  • Mathayo 23:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa sababu hiyo, ninawatuma kwenu manabii+ na watu wenye hekima na walimu wa watu wote.+ Baadhi yao mtawaua+ na kuwatundika kwenye miti, na baadhi yao mtawapiga mijeledi+ katika masinagogi yenu na kuwatesa+ katika jiji baada ya jiji, 35 ili damu yote ya waadilifu iliyomwagwa duniani ije juu yenu, kuanzia damu ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua kati ya patakatifu na madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki