Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 24:20-22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Roho ya Mungu ikamjia* Zekaria mwana wa kuhani Yehoyada,+ naye akasimama mahali palipo juu mbele ya watu na kuwaambia: “Mungu wa kweli anasema hivi: ‘Kwa nini mnazivunja amri za Yehova? Hamtafanikiwa! Kwa sababu mmemwacha Yehova, yeye naye, atawaacha ninyi.’”+ 21 Lakini walipanga njama dhidi yake,+ wakampiga mawe katika ua wa nyumba ya Yehova, kwa agizo la mfalme.+ 22 Kwa hiyo Mfalme Yehoashi hakukumbuka upendo mshikamanifu ambao Yehoyada baba yake* alimtendea, alimuua mwanawe, ambaye alisema hivi alipokuwa akifa: “Yehova na ashughulikie jambo hili na kukulipiza kisasi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki