Mathayo 23:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ili damu yote ya waadilifu iliyomwagwa duniani ije juu yenu, kuanzia damu ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua kati ya patakatifu na madhabahu.+ Luka 11:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 kuanzia damu ya Abeli+ mpaka damu ya Zekaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na ile nyumba.’*+ Ndiyo, ninawaambia, kizazi hiki kitadaiwa* damu hiyo.
35 ili damu yote ya waadilifu iliyomwagwa duniani ije juu yenu, kuanzia damu ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua kati ya patakatifu na madhabahu.+
51 kuanzia damu ya Abeli+ mpaka damu ya Zekaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na ile nyumba.’*+ Ndiyo, ninawaambia, kizazi hiki kitadaiwa* damu hiyo.