Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘Lakini macho yako na moyo wako unakazia tu faida yako isiyo ya haki,

      Kumwaga damu isiyo na hatia,

      Na kufanya ulaghai na unyang’anyi.’

  • Ezekieli 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi akaniambia: “Kosa la watu wa nyumba ya Israeli na Yuda ni kubwa sana, kubwa kwelikweli.+ Nchi imejaa umwagaji wa damu,+ nalo jiji limejaa ufisadi.+ Kwa maana wanasema, ‘Yehova ameiacha nchi hii, na Yehova haoni.’+

  • Mathayo 23:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ili damu yote ya waadilifu iliyomwagwa duniani ije juu yenu, kuanzia damu ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua kati ya patakatifu na madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki