3 Nawe usikilize, Ee Israeli, nawe uwe mwangalifu kuzitenda,+ ili mambo yakuendee vema+ nanyi mpate kuwa wengi sana, kama vile ambavyo Yehova Mungu wa mababu zako amekuahidi wewe,+ kuhusu nchi inayotiririka maziwa na asali.
8“Kila amri ninayokuamuru leo muwe waangalifu kuishika,+ ili mpate kuendelea kuishi+ na kuongezeka, mwingie na kuimiliki nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zenu.+