Kumbukumbu la Torati 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mnapaswa kuwa waangalifu kushika kila amri ninayowapa leo, ili mwendelee kuishi, mwongezeke,+ mwingie na kuimiliki nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zenu.+
8 “Mnapaswa kuwa waangalifu kushika kila amri ninayowapa leo, ili mwendelee kuishi, mwongezeke,+ mwingie na kuimiliki nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zenu.+