Mhubiri 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+ Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+
12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+