Zaburi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+ Zaburi 146:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+Msifuni Yah!+ Danieli 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jinsi zilivyo kuu ishara zake, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu!+ Ufalme wake ni ufalme wa mpaka wakati usio na kipimo,+ na utawala wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+
16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+
10 Yehova atakuwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo,+Mungu wako, Ee Sayuni, kwa kizazi baada ya kizazi.+Msifuni Yah!+
3 Jinsi zilivyo kuu ishara zake, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu!+ Ufalme wake ni ufalme wa mpaka wakati usio na kipimo,+ na utawala wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+