4 Basi wakampa Yakobo miungu yote ya kigeni+ iliyokuwa mikononi mwao na vipuli vilivyokuwa masikioni mwao, naye Yakobo akavificha+ chini ya ule mti mkubwa uliokuwa karibu na Shekemu.
26 Ndipo Yoshua akaandika maneno hayo katika kitabu cha sheria ya Mungu,+ akachukua jiwe kubwa,+ akalisimamisha hapo chini ya ule mti mkubwa+ sana ulio kando ya patakatifu pa Yehova.