2 Wafalme 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mwishowe Hoshea+ mwana wa Ela akafanya hila+ juu ya Peka mwana wa Remalia, akampiga na kumuua;+ naye akaanza kutawala mahali pake katika mwaka wa 20 wa Yothamu+ mwana wa Uzia. Isaya 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa sababu kikundi hiki cha watu kimeyakataa+ maji ya Shiloa+ yanayotiririka polepole, na kuna kumfurahia+ Resini mwana wa Remalia;+
30 Mwishowe Hoshea+ mwana wa Ela akafanya hila+ juu ya Peka mwana wa Remalia, akampiga na kumuua;+ naye akaanza kutawala mahali pake katika mwaka wa 20 wa Yothamu+ mwana wa Uzia.
6 “Kwa sababu kikundi hiki cha watu kimeyakataa+ maji ya Shiloa+ yanayotiririka polepole, na kuna kumfurahia+ Resini mwana wa Remalia;+