Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana kwako wewe iko chemchemi ya uzima;+

      Kwa nuru inayotoka kwako sisi tunaweza kuona nuru.+

  • Yeremia 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+

  • Yohana 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 na kumwambia: “Nenda ukanawe+ katika dimbwi la Siloamu”+ (linalotafsiriwa ‘Aliyetumwa’). Na kwa hiyo akaenda na kunawa,+ akarudi akiwa anaona.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki