Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye akanunua mlima wa Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili za fedha, naye akaanza kujenga juu ya huo mlima na kuita jina la jiji alilolijenga Samaria,+ kulingana na jina la Shemeri bwana wa ule mlima.

  • 1 Wafalme 22:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Naye Ahazia+ mwana wa Ahabu, alikuwa mfalme juu ya Israeli kule Samaria katika mwaka wa kumi na saba wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye akaendelea kutawala juu ya Israeli kwa miaka miwili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki