Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo.

  • 1 Wafalme 22:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi mfalme akafa. Alipoletwa Samaria, ndipo wakamzika mfalme katika Samaria.+

  • 2 Wafalme 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babiloni+ na Kutha na Ava+ na Hamathi+ na Sefarvaimu,+ akawakalisha katika majiji ya Samaria+ badala ya wana wa Israeli; nao wakaanza kumiliki Samaria na kukaa katika majiji yake.

  • Amosi 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ole wao wanaostarehe+ katika Sayuni na wale wanaotegemea mlima wa Samaria! Hao ndio wale walio mashuhuri wa sehemu kuu ya mataifa, na nyumba ya Israeli imewajia.

  • Matendo 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Filipo akashuka kwenda jiji la Samaria+ na kuanza kuwahubiria juu ya Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki