1 Wafalme 22:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Na mambo mengine ya Ahabu na yote aliyofanya na ile nyumba ya pembe za tembo+ aliyoijenga na majiji yote aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? Amosi 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitaiangusha nyumba ya wakati wa majira ya baridi+ kali pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi.’+ “ ‘Na nyumba za pembe za tembo zitaangamia,+ na nyumba nyingi zitakwisha,’+ asema Yehova.”
39 Na mambo mengine ya Ahabu na yote aliyofanya na ile nyumba ya pembe za tembo+ aliyoijenga na majiji yote aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?
15 Nami nitaiangusha nyumba ya wakati wa majira ya baridi+ kali pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi.’+ “ ‘Na nyumba za pembe za tembo zitaangamia,+ na nyumba nyingi zitakwisha,’+ asema Yehova.”