2 Mambo ya Nyakati 28:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana Ahazi alikuwa amechukua kila kitu kilichokuwa katika nyumba ya Yehova na nyumba ya* mfalme+ na nyumba za wakuu na kumpa mfalme wa Ashuru kuwa zawadi; lakini hilo halikumsaidia kamwe.
21 Kwa maana Ahazi alikuwa amechukua kila kitu kilichokuwa katika nyumba ya Yehova na nyumba ya* mfalme+ na nyumba za wakuu na kumpa mfalme wa Ashuru kuwa zawadi; lakini hilo halikumsaidia kamwe.