15 Basi Hezekia akawapa fedha yote iliyokuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mfalme.+ 16 Wakati huo Hezekia aling’oa milango ya hekalu+ la Yehova na miimo ambayo yeye mwenyewe, Mfalme Hezekia wa Yuda, alikuwa ameifunika kwa dhahabu,+ naye akampa mfalme wa Ashuru.