Waamuzi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia;+ na wana wa Israeli wakaendelea kumtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane. Zaburi 69:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana yule ambaye wewe mwenyewe umempiga, wamemfuatilia,+Nao wanaendelea kusimulia maumivu ya wale ambao wewe uliwachoma. Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu! Zekaria 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+
8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia;+ na wana wa Israeli wakaendelea kumtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.
26 Kwa maana yule ambaye wewe mwenyewe umempiga, wamemfuatilia,+Nao wanaendelea kusimulia maumivu ya wale ambao wewe uliwachoma.
5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!
15 Nina hasira kubwa juu ya mataifa yenye starehe;+ kwa sababu mimi nilikasirika kidogo tu,+ bali wao waliuzidisha msiba.” ’+