-
2 Mambo ya Nyakati 28:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Yehova aliwanyenyekeza watu wa Yuda kwa sababu ya Mfalme Ahazi wa Israeli, kwa maana aliwaacha watu wa Yuda watende watakavyo, na hivyo wakakosa kuwa waaminifu kwa Yehova kwa kiwango kikubwa.
-