6 Ndipo Resini mfalme wa Siria akarudisha Elathi+ kwa Edomu, kisha akawaondoa Wayahudi kutoka Elathi; nao Waedomu wakaingia katika Elathi, wakaendelea kukaa humo mpaka leo hii.
24 Kwa maana jeshi la Wasiria lilivamia kwa hesabu ndogo ya watu,+ na Yehova mwenyewe akatia mkononi mwao jeshi lililo na hesabu kubwa sana,+ kwa sababu walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao; nao wakafanya hukumu juu ya Yehoashi.+