46 Nanyi mtawapitisha wawe urithi kwa wana wenu baada yenu ili wawarithi kama miliki mpaka wakati usio na kipimo.+ Mnaweza kuwatumia kama wafanyakazi, lakini juu ya ndugu zenu wana wa Israeli, msikanyagane, kwa uonevu.+
9 Lakini Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa kwa ajili ya kazi yake;+ kwa maana hao walikuwa mashujaa wa vita+ na wakuu wa maamiri wake wasaidizi na wakuu wa waendesha-magari+ wake na wakuu wa wapanda-farasi+ wake.