Mambo ya Walawi 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Lakini ikiwa hamtanisikiliza ijapokuwa mambo yote hayo, ndipo nitawatia adabu mara saba zaidi kwa sababu ya dhambi zenu.+ Kumbukumbu la Torati 28:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Mkaaji mgeni aliye katikati yako ataendelea kupanda zaidi na zaidi juu yako, lakini wewe—wewe utaendelea kushuka chini zaidi na zaidi.+ 1 Samweli 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+ Ayubu 40:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwone kila mtu mwenye majivuno, mnyenyekeze,+Na uwakanyagie chini waovu palepale walipo.
18 “‘Lakini ikiwa hamtanisikiliza ijapokuwa mambo yote hayo, ndipo nitawatia adabu mara saba zaidi kwa sababu ya dhambi zenu.+
43 Mkaaji mgeni aliye katikati yako ataendelea kupanda zaidi na zaidi juu yako, lakini wewe—wewe utaendelea kushuka chini zaidi na zaidi.+