6 “Je, huku siko kule kufunga ambako mimi nachagua? Kufungua pingu za uovu,+ kufungua vifungo vya nira,+ na kuwaachilia huru wale waliopondwa,+ na kwamba ninyi mkate kila nira iwe vipande viwili?+
15 Nanyi leo mnageuka na kufanya yaliyo sawa machoni pangu kwa kumtangazia uhuru kila mtu mwenzake, nanyi mnafanya agano mbele zangu+ ndani ya nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake.+