2 Mambo ya Nyakati 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamtia mikononi mwa mfalme wa Siria,+ hivi kwamba wakamshinda, wakachukua mateka wengi, na kuwapeleka Damasko.+ Alitiwa pia mikononi mwa mfalme wa Israeli, ambaye aliwaua watu wake wengi.
5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamtia mikononi mwa mfalme wa Siria,+ hivi kwamba wakamshinda, wakachukua mateka wengi, na kuwapeleka Damasko.+ Alitiwa pia mikononi mwa mfalme wa Israeli, ambaye aliwaua watu wake wengi.