2 Samweli 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Halafu Daudi akaweka kambi za kijeshi kule Siria ya Damasko, na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru. Yehova alimpa Daudi ushindi* popote alipoenda.+ 1 Mambo ya Nyakati 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wasiria wa Damasko walipokuja kumsaidia Mfalme Hadadezeri wa Soba, Daudi aliwaua Wasiria 22,000.+
6 Halafu Daudi akaweka kambi za kijeshi kule Siria ya Damasko, na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru. Yehova alimpa Daudi ushindi* popote alipoenda.+