24 Atawatia wafalme wa mataifa hayo mikononi mwenu,+ nanyi mtayafutilia mbali majina yao kutoka duniani.*+ Hakuna mtu atakayewazuia,+ mpaka mtakapowaangamiza.+
14 Aliweka kambi za kijeshi huko Edomu. Aliweka kambi za kijeshi katika nchi yote ya Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Yehova alimpa Daudi ushindi* popote alipoenda.+