Kumbukumbu la Torati 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hakuna yeyote atakayewazuia.+ Yehova Mungu wenu atawafanya wakaaji wote wa nchi mtakayokanyaga wawahofu na kuwaogopa,+ kama alivyowaahidi ninyi. Yoshua 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hakuna yeyote atakayekushinda sikuzote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+ Sitakutupa wala kukuacha.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
25 Hakuna yeyote atakayewazuia.+ Yehova Mungu wenu atawafanya wakaaji wote wa nchi mtakayokanyaga wawahofu na kuwaogopa,+ kama alivyowaahidi ninyi.
5 Hakuna yeyote atakayekushinda sikuzote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+ Sitakutupa wala kukuacha.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+