24 Walipomletea Yoshua wafalme hao, akawaita wanaume wote wa Israeli na kuwaambia makamanda wa jeshi walioenda naye: “Njooni. Wakanyageni nyuma ya shingo wafalme hawa.” Basi wakaja na kuwakanyaga nyuma ya shingo.+
12Basi hawa ndio wafalme ambao Waisraeli waliwashinda na kumiliki nchi yao upande wa mashariki wa Yordani, kuanzia Bonde* la Arnoni+ hadi Mlima Hermoni+ na eneo lote la Araba kuelekea upande wa mashariki:+