-
Kumbukumbu la Torati 4:47-49Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
47 Nao wakaimiliki nchi yake na nchi ya Mfalme Ogu+ wa Bashani, wafalme wawili wa Waamori waliokuwa katika eneo lililokuwa upande wa mashariki wa Yordani, 48 kuanzia Aroeri,+ kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+ 49 na eneo lote la Araba upande wa mashariki wa Yordani, mpaka Bahari ya Araba,* chini ya miteremko ya Pisga.+
-