33 Halafu wakageuka na kupanda kupitia njia ya Bashani. Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka pamoja na watu wake wote ili kupigana vita nao huko Edrei.+
4 Kisha tukateka majiji yake yote. Hakuna mji wao hata mmoja ambao hatukuuteka, tuliteka majiji 60 katika eneo lote la Argobu, yaani, ufalme wa Ogu kule Bashani.+