Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hivyo Musa akawapa—wana wa Gadi, wana wa Rubeni,+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu—ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, maeneo hayo na majiji yaliyokuwemo na pia majiji jirani.

  • Kumbukumbu la Torati 29:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe mkafika mahali hapa, na Sihoni mfalme wa Heshboni+ na Ogu mfalme wa Bashani+ wakaja kupigana nasi, lakini tukawashinda.+ 8 Baada ya hayo tukachukua nchi yao na kuwapa Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase iwe urithi wao.+

  • Yoshua 13:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Pia, Musa akawapa urithi nusu ya watu wa kabila la Manase, ukawa urithi wao kulingana na koo zao.+ 30 Na eneo lao lilianzia Mahanaimu+ na eneo lote la Bashani, eneo lote la Mfalme Ogu wa Bashani, na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ kule Bashani, miji 60.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki